Tuesday, October 15, 2019

MIKOA ILIYOFANYA VIBAYA KWA UANDIKISHAJI HADI KUFIKIA TAR 14/10/2019

Halmashauri zilizofanya vibaya kwa kuandikisha chini ya Asilimia 50 hadi kufikia Tar 14/10/2019 ni

Moshi Manispaa - 31%,
 Jiji la Arusha - 32%,
 Nsimbo Dc - 41%,
 Kigoma Manispaa - 43%,
 Korogwe Mji - 45%,
Jiji la Mbeya - 46%,
 Babati Mji - 46% na
 Manispaa ya Musoma - 49%.


Selemani Jafo
Waziri wa Nchi, OR- TAMISEMI
15/10/2019

No comments:

Post a Comment