Halmashauri zilizofanya vibaya kwa kuandikisha chini ya Asilimia 50 hadi kufikia Tar 14/10/2019 ni
Moshi Manispaa - 31%,
Jiji la Arusha - 32%,
Nsimbo Dc - 41%,
Kigoma Manispaa - 43%,
Korogwe Mji - 45%,
Jiji la Mbeya - 46%,
Babati Mji - 46% na
Manispaa ya Musoma - 49%.
Selemani Jafo
Waziri wa Nchi, OR- TAMISEMI
15/10/2019
No comments:
Post a Comment