BREAKING: Ndege ya Ethiopian Airlines yaanguka ikitokea Addis Ababa kwenda Nairobi, watu 15 waripotiwa kufariki Dunia.
Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia, aina ya Boeing 737 MAX imeanguka leo asubuhi Marchi 10, 2019 ikitokea Addis Ababa, Ethiopia kwenda Nairobi Kenya.
Tayari Ofisi ya waziri Mkuu wa Ethiopia, imetuma salamu za rambi rambi kwa familia zilizopoteza ndugu zao kwenye ajali hiyo

No comments:
Post a Comment