Sunday, March 10, 2019

WATU 159 WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA NDEGE YA ETHIOPIAN AIRLINES

BREAKING: Ndege ya Ethiopian Airlines yaanguka ikitokea Addis Ababa kwenda Nairobi, watu 15 waripotiwa kufariki Dunia.



Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia, aina ya Boeing 737 MAX imeanguka leo asubuhi Marchi 10, 2019 ikitokea Addis Ababa, Ethiopia kwenda Nairobi Kenya.
Taarifa za awali zinaeleza kuwa ndege hiyo ilikuwa na watu 159 na wameripotiwa kufariki papo hapo.

Tayari Ofisi ya waziri Mkuu wa Ethiopia, imetuma salamu za rambi rambi kwa familia zilizopoteza ndugu zao kwenye ajali hiyo

No comments:

Post a Comment